» » Waziri mkuu nchini DRC ajiuzulu

Waziri mkuu nchini DRC ajiuzulu

Haki miliki ya pichaGOOGLEImage captionSamy Badibanga

Waziri mkuu nchini Jamhuri ya Demokrasi ya Congo Samy Badibanga amejiuzulu kama sehemu ya makubaliano yaliyoongozwa na kanisa katoliki kumaliza mzozo wa kisiasa nchini humo, kwa mujibu wa Redio moja ya nchi hiyo, Redio Okapi.

Hii inafuatia hotuba ya hapo jana kutoka na Rais Joseph Kabila, ambapo aliwaambia wabunge kuwa atamteua waziri mkuu kutoka upinzani ndani ya saa 48 zinazokuja.

Bwana Kabila alisema kuwa atafuata tararibu zilizoafikiwa kama sehemu ya makubaliano na upinzani ambayo yanataka uchaguzi kuandaliwa kabla ya mwisho wa mwaka huu.

Kiongozi wa upinzani DRC Etienne Tshisekedi afariki duniaMwana wa Tshisekedi kuongoza upinzani DRCWatu 17 wafa wakihofia kuvamiwa na waasi DRC

Kumekuwa na msukosuko nchini DRC baada ya Kabila kukataa kundoka madarakani wakati muhula wake ulipokamilika mwezi Disemba.

Mshirikishe mwenzako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles