» » Wasanii waomba usaidizi wa kumtafuta Roma Mkatoliki

Wasanii waomba usaidizi wa kumtafuta Roma Mkatoliki

Wasanii nchini Tanzania kwa pamoja wametoa wito kwa vyombo vya dola sambamba na raia kusaidia kupatikana kwa msanii mwenzao Ibrahim Musa maarufu kama Roma Mkatoliki.

Hatua hii inakuja siku moja baada ya msanii huyo pamoja na wenzake watatu kukamatwa na watu wasiojulikana wakati wakiwa katika shughuli za kimuziki.

David Nkya na maelezo zaidi.

Mshirikishe mwenzako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles