Raia wa Marekani akamatwa Korea Kaskazini
REUTERS
Shirika la habari la Korea Kusini linasema kwamba raia wa tatu wa Marekani ametiwa mbaroni nchini Korea Kaskazini.
Bila kutaja vyanzo vyake, shirika hilo linasema mwanamume huyo mwenye asili ya kimarekani na kikorea alikamatwa akiwa kwenye uwanja wa ndege akijaribu kuondoka Pyongyang.
Inaarifiwa kwamba mwanamume huyo ni mhadhiri wa zamani wa chuo kikuu cha Yanbian Uchina, na alikuwa korrea kaskazini kwa kipindi cha mwezi mmoja kwa shughuli za uhisani.
- Korea Kaskazini: Tutaishambulia Marekani kwa nyuklia
- Trump: tutaidhibiti Korea Kaskazini
- Marekani yatishia kuiadhibu Korea Kaskazini
Serikali za korea kusini na kaskazini hazijadhibitisha madai hayo.
Raia wengine wawili wa Marekani wanazuiliwa nchini humo.
REUTERSTuma picha/ habari what-sap 0769436440
BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:
Post a Comment