» » Maandamano ya kuunga mkono sayansi yafanyika duniani

Maandamano ya kuunga mkono sayansi yafanyika duniani

Waandamanji wakiunga mkono sayansi
Image captionWaandamanji wakiunga mkono sayansi
Mihadhara ya kuunga mkono sayansi inafanywa katika miji zaidi ya 500 sehemu mbalimbali za dunia.
Hiyo ndiyo mihadhara ya mwanzo kutetea sayansi, iliyoanza New Zealand na Australia, ambako maelfu walishiriki kupinga kile wanachoona kuwa mashambulio yanayozidi ya wanasiasa, kupinga ukweli na ushahidi.
Baadhi yao walivaa makoti meupe ya maabara, na kubeba mabiramu kusema, "tunataka watu wanaotafakari siyo wanaokanusha' .
Waliopanga shughuli hiyo kimataifa, wanasema kilichowachochea kuchukua hatua, ni mipango ya Rais Trump kupunguza sana bajeti za idara za sayansi za Marekani.
Wanasema sayansi ni msingi wa maisha ya kawaida, haifai kuidhoofisha.

Tuma picha/ habari what-sap 0769436440

BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS


tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles