» » Tamasha na uzinduzi wa DVD no1 kutoka kwa kikundi cha MARANATHA SINGER'S MWANZA


Kwa mala ya Kwanza kabisa kikundi Cha uimbaji Cha Maranatha singer's kutoka Mwanza kinakuletea Tamasha kubwa na la Aina yake litakalo ambatanisha na uzinduzi Mkubwa wa Aina yake siku hii jumapili ya tarehe  ni 09/04/2017 Katika chuo kikuu Cha saut ndani ya ukumbi wa ( M9) hall vikundi vingine vitakuwepo siku hiyo Kama VICTORY SINGER'S, THE GLORY, V.O.C, THE ANTIOKIA VOICE, HOPE VOICE, ADVOCATE,TUCASA SAUT CHOIR, TUCASA BUGANDO CHOIR, NEEMA MKENKA, THOMAS GAMBA, MR'S JOSEPHINE LUSANYU NA AMOS DISIRE BUNANI  na vingine vingi vitakuwepo usipange kukosa siku hiyo hakuna kiingilio hi bure muda kuanzia saa 6:00-mchana 11:30-jioni panda magari yaendayo Nsumba Malimbe utafika bilĂ  shida








Download Apps ya 4sn news kwa play store
Upate habari zote Kwenye Simu yako kila zitokeapo
Wasiriana na si 0769436440

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...