» » Ashtakiwa kwa tuhuma za Ukeketaji Marekani


Ashtakiwa kwa tuhuma za Ukeketaji Marekani


Yusra Warsama akiigiza kama mwanamke aliyekeketwa
Image captionYusra Warsama akiigiza kama mwanamke aliyekeketwa
Daktari nchini Marekani ameshtakiwa kwa tuhuma za kuendesha zoezi la kuwakeketa wasichana wadogo.
Inaaminika kuwa mashtaka hayo ni ya kwanza ya aina yake nchini humo.
Waendesha mashtaka katika jimbo la Michigan wamesema Dokta Jumana Nagarwala kwa miaka 12 amekuwa akiendesha zoezi la kuwakeketa watoto wa kike wenye umri ya kati ya miaka sita mpaka nane.
Amekuwa akichunguzwa baada ya mamlaka nchini humo kupewa taarifa na wasamaria wema.
Iwapo atakutwa na hatia Dokta Nagarwala atakabiliwa na kifungo cha juu gerezani.
Ukeketaji wanawake ni jambo ambalo limekuwa ni kinyume cha sheria nchini Marekani tangu mwaka 1996.
Tuma picha/ habari what-sap 0769436440


BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS


tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles