» » Wagombea wakuu wafanya kampeni za mwisho Uholanzi

Wagombea wakuu wafanya kampeni za mwisho Uholanzi

Image captionWaziri mkuu Mark Rutte (kushoto) na mpinzani wake mkuu Geert Wilders (kulia) katika mdahalo

Viongozi kutoka vyama vikuu vya siasa watakao simama katika uchaguzi mkuu wa jumatano nchini Uholanzi wanafanya kampeni zao za mwisho kwa njia ya televisheni.

Wanajaribu kutafuta kura za mwisho za wale ambao pengine hawakuwa tiyari kupiga kura.

Vyama vyenye upinzani mkubwa ni kile cha mrengo wa kulia cha waziri mkuu wa sasa Mark Rutte na kinachopinga kuwepo ndani ya umoja wa ulaya na pia kupinga wahamiaji cha Geert Wilders.

Mwandishi wa BBC wa eneo hilo anasema kuwa uchaguzi huo unachukuliwa kama kipimo iwapo vyama vyenye sera kama za bwana Wilders bado vina ushawishi Ulaya.

Mshirikishe mwenzako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles