» » Waasi wa FARC waweka silaha chini

Waasi wa FARC waweka silaha chini

Image captionIvan Marquez kutoka upande wa FARC na Humberto de la Calle wakipeana mkono wa amani

Waasi wa FARC nchini Colombia wameanza kukabidhi silaha zao kwa waangalizi wa umoja wa mataifa kama sehemu ya mkubaliano ya usitishwaji wa mgogoro uliosainiwa mwezi Novemba mwaka 2016.

Kamishna wa amani Sergio Jaramillo amesema kuwa serikali inatarajia kupokea maelfu ya silaha kutoka kwa waasi wa FARC ndani ya miezi mitatu ijayo.

Baada ya kukabidhi silaha hizo waasi wa FARC wataruhusiwa kuondoka katika maeneo waliyokusanyika ambapo wanaishi kama raia wengine.

Kundi la pili kwa ukubwa nchini Colombia ELN walianza mazungumzo ya amani na serikali ya nchi hiyo mwezi uliopita.

Mshirikishe mwenzako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...