headlines

    07:42
» » Lewis Hamilton ana imani ya kumshinda Sebastian Vettel

Lewis Hamilton ana imani ya kumshinda Sebastian Vettel


Lewis HamiltonHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionLewis Hamilton
Dereva wa magari ya Langalanga Muingereza Lewis Hamilton anasema ana uhakika atamshinda Sebastian Vettel katika mashindano ya dunia ya Australian Grand Prix.
Hamilton alimaliza wa pili kwa Mjerumani huyo wakati wa kuanza kwa msimu mjini Melbourne, kufuatia shinikizo la mwendo wa kasi wa dereva huyo wa Ferrari.
Vettel akiongozaHaki miliki ya pichaAP
Image captionVettel akiongoza
"Litakuwa shindano kali, nina imani kuwa tutawashinda," Hamilton alisema .
"Ni vizuri tutakuwa shindano hili kali"
"Kuna kazi kubwa mbeleni, tuna mengi ya kufanya lakini hata hivyo tuko na furaha," alisema Vettel.
Hamilton naye amesema kuwa anachotarajia ni ushindani ulio mkali na Vettel mwaka huu wote.
Lewis Hamilton ampongeza Sebastina VettelHaki miliki ya pichaAP
Image captionLewis Hamilton ampongeza Sebastina Vettel
Tuma picha/ habari what-sap 0769436440






BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.sn.news&hl=en





tupe maoni yako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Za Chini ya Kapeti..Mgogoro Mkubwa Waibuka Chadema,Chanzo Chatajwa ni Ubunge wa Afrika Mashariki na Hali Mbaya ya Kifedha..!!! Za Chini ya Kapeti..Mgogoro Mkubwa Waibuka Chadema,Chanzo Chatajwa ni Ubunge wa Afrika Mashariki na Hali Mbaya ya Kifedha..!!!
»
Previous
Polepole atolea ufafanuzi mabadiliko ya CCM ili kuondoa uzushi Kuhusu Kumpata Mgombea wa Urais 2020

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...