Benin yajadili rais kuongoza kwa muhula mmoja
Haki miliki ya pichaAFPImage captionRais wa taifa hilo Patrice Talon alisema kuwa atajaribu kubadili katiba hiyo wakati wa kampeni ya uchaguzi mwaka uliopita.
Bunge nchini Benin limekuwa likifanya mjadala kuhusu marekebisho ya katiba ikiwemo kupunguza muda wa rais kuongoza hadi muhula mmoja wa miaka sita.
Kwa sasa rais anaweza kuongoza kwa mihula miwili ya miaka mitano kila mmoja.
Lakini pendekezo hilo linakabiliwa na utata.
Merkel kuwania muhula wa nneNkurunziza aashiria kuwania muhula wa nne BurundiAli Bongo aapishwa kwa muhula wa pili
Vuguvugu moja la upinzani lilifanya mgomo mbele ya bunge likisema kuwa raia wanafaa kupewa fursa ya kujadili mabadiliko hayo.
Nchini Benin marekebisho ya kikatiba yanaweza kuidhinishwa kupitia kura ya maoni ama wingi wa kura bungeni.
Bunge la Gambia laongeza muhula wa JammehRais wa Zambia aapishwa kwa muhula mwingine
Rais wa taifa hilo Patrice Talon alisema kuwa atajaribu kubadili katiba hiyo wakati wa kampeni ya uchaguzi mwaka uliopita.
Mshirikishe mwenzako


No comments:
Post a Comment