» » Bashar al-Assad: Syria kushirikiana na Marekani

Bashar al-Assad: Syria kushirikiana na Marekani

Image captionRais Bashar al-Assad wa Syria

Rais Bashar al-Assad wa Syria ameelezea ahadi ya Rais Trump, kulishinda kundi la Islamic State, kwamba inatia moyo.

Akizungumza kwenye televisheni, Rais Assad alisema, kimsingi, kuna uwezekano wa kushirikiana, baina ya serikali yake na serikali mpya ya Marekani.

Mapigano yaanza upya SyriaPacha waliojeruhiwa Syria wafarikiUN:Mapigano yasitishwe SyriaSyria kumaliza mapigano

Lakini alisema, kitu kama hicho hakikupata kutokea kabla, na alielezea kuwepo kwa wanajeshi wa Marekani kaskazini mwa Syria, kwamba ni uvamizi.

Wakati wote wa vita vya miaka 6, Marekani imekuwa upande wa makundi yanayoipinga serikali ya Rais Assad.

Mshirikishe mwenzako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles