» » Trump abadili msimamo kuhusu makaazi ya Israel

Trump abadili msimamo kuhusu makaazi ya Israel



Makaazi mapya ya Israel yanayojengwa katika Ardhi ya Palestina
Image captionMakaazi mapya ya Israel yanayojengwa katika Ardhi ya Palestina

Ikulu ya White house nchini Marekani inasema kuwa utawala wa Donald Trump haujachukua msimamo rasmi kuhusu ujenzi wa makaazi ya Israel katika ardhi ya Palestina, lakini upanuzi zaidi wa makaazi hayo huenda ukaathiri mazungumzo ya amani katika eneo hilo.
Taarifa hiyo inajiri saa kadhaa baada ya waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kuahidi kuanzisha ujenzi wa makaazi mapya ya serikali baada ya kituo cha kijeshi cha Amona kuharibiwa.

Rais wa Marekani Donald Trump
Image captionRais wa Marekani Donald Trump

Tangu kuapishwa kwa rais Donald Trump ambaye ameonekana kupendezwa na ujenzi wa makaazi hayo, Israel imetangaza mipango yake ya kujenga makaazi mapya 6000.
Asante kwa kutembelea Blog yetu washirikishe na wenzako, Pia tunaomba maoni yako hapa WHATSAP (+255) 0769436440 Karibu Sana Read More

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles