» » Usichokijua Kwenye Remix ijayo ya Aje ya Alikiba


Aje ni wimbo wa Alikiba uliompa mafanikio makubwa mwaka jana ikiwemo tuzo kadhaa za video bora ya mwaka ikiwemo ile ya Soundcity MVP Awards.
Baada ya kuwepo version yenye verse toka kwa rapper Jude ‘M.I’ Abaga aka Mr Chairman wa Nigeria iliyovuja hata kabla ya official video, mashabiki walikuwa wamekaa tamaa kuwa hakutokuwepo na official remix yake.
Habari njema ni kuwa, Alikiba anaileta remix official ya Aje. Na tena itakuwa ni video.
“Ndio, remix inayokuja ndio ambayo yuko M.I na ina utofauti than the one that leaked,” meneja wa Alikiba, Seven ameyasema hayo. Seven amewataka mashabiki wawe tayari muda wote sababu remix hiyo itaachiwa kwa kushtukiza.
“He will just release it when it’s ready,” ameongeza. “Hatutoi official release date. It will drop unexpectedly.”

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...