» » SERIKALI YAFUTA "FIELD" KWA WANAFUNZI WA MWAKA WA KWANZA

Leo kumuibuka taharuki kwenye mitandao ya kijamii baada ya taarifa kutolewa na kituo cha habari cha Chennel Ten kuwa hakutakuwa na Mafunzo kwa Vitendo yaani BTP ama Field kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza kuanzia mwaka huu. Taarifa ambayo imetolewa na Waziri wa Elimu, Prof. Ndalichako.
Taarifa hiyo imetolewa leo tarehe 14 katika kipindi cha habari za saa kinachopeperushwa na Channel Ten. Sababu za kutokuwaruhusu wanafunzi wa mwaka wa kwanza kwenda field ni kile kinachosemwa kuwa ni kutokuwa na ukomavu katika taaluma yao.

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles