» » Mtoto wa Ajabu:Soma Ujeuri wa Huyu Mwanafunzi,Ameyajibu Maswali Haya ya Kikubwa Mbele ya Mwalimu Wake


Dogo wa darasa la tatu anataka apelekwe darasa la 5.. Mwalimu wa darasa akamfikishia habari mwalimu mkuu wakamwita kwa maswali..

.
M/MKUU:
Wewe ndio Samweli?.
.
SAMWELI:
Ndio mimi mwalimu.
.
M/MKUU:
Mwalimu yeyote amuulize swali Samweli.
.
Mwalimu # Vero akaanza na maswali
.
MWALIMU:
Ni vitu gani ambavyo Ng'ombe
anavyo vinne lakini mimi ninavyo viwili?.
.
SAMWELI:
Miguu.
.
MWALIMU:
Unanini ndani ya kaptura yako
lakini mimi sina?.
.
SAMWELI:
Mifuko ya kaptura.
.
MWALIMU:
Ni kitu gani kimezungukwa na manyoya cha mviringo na kina maji mweupe?.
.
M/mkuu akiwa katumbua macho.
.
SAMWELI:
Nazi.
.
M/mkuu akashusha pumzii!!..
.
MWALIMU:
Nikitu gani huingia mwilini kikiwa kikavu na hutoka kimelowa?.
.
M/mkuu jasho jembamba likiwa linamtoka.
.
SAMWELI:
Jojo Au Bigiji.
.
MWALIMU:
ni neno gani huanzia na F na huishia na K pia kama usipopata utatumia mikono yako.
.
SAMWELI:
Fork "uma".
.
MWALIMU:
Ni kitu gani kila mwanaume anacho, nikirefu kwa wanaume pia nikifupu kwa wengine. Mapadri na Ma papa hawakitumii na mwanaume humpa mwanamke wake baada ya kuoana?.
.
M/mkuu akiwa anataka kumsimamisha dogo asijibu Samweli akajibu.
.
SAMWELI:
Jina la Ukoo (surname).
.
MWALIMU:
Ni sehemu gani katika mwili wa Mwanaume haina mifupa, Lakini ina misuli na mistari kama ya maboga?.
.
.M/mkuu akiwa anahaha na maswali magumu.
.
SAMWELI:
Moyo.
Mwalimu Mkuu akadakia. "Huyu kijana apelekwe Sekondar"...
.
.
NAJUA WEWE MASWALI YANGEKUSHINDA MAANA AKILI ZAKO UNAZIJUA MWENYEWE...

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...