» »Unlabelled » Kabila kuwa madarakani hadi mwaka ujao



Kabila kuwa madarakani hadi mwaka ujao

  • 24 Disemba 2016
Image copyright Getty Images
Image caption Kabila ataandoka madarakani mwishoni mwa mwaka ujao
Wapatanishi katika Jamhuri wa Kidemokrasia ya Congo, wameandaa mwafaka wa kuhakikisha kuwa madaraka yanapokezwa kwa njia ya amani.
Mashauriano yaliyoandaliwa na Kanisa Katoliki, yanafuatia kukataa kwa Rais Joseph Kabila, kuondoka madarakani baada ya utawala wake wa mihula miwili kukamilika.
Chini ya mapatano hayo Rais Kabila ataendelea kuwa Rais hadi wakati wa uchaguzi ifikapo mwisho wa mwaka ujao.
Waziri Mkuu mpya atachaguliwa kutoka kwa upande wa upinzani na mpango huo utasimamiwa na mkongwe wa upinzani, Etienne Tshisekedi.
Mwandishi wa habari wa BBC, alisema kuwa ingawa kuna ripoti kuwa pande kinzani zimekubaliana kwa maswala fulani, haiwezekani sahihi za mkataba huo kutiwa sahihi kabla Krismasi.
Kukataa kwa Bwana Kabila kuondoka madarakani na kuahirishwa kwa uchaguzi kumesababisha maandamano makali katika barabara kuu za miji nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Asante kwa kutembelea Blog yetu washirikishe na wenzako, Pia tunaomba maoni yako hapa au tupigie kwa (+255) 0769436440 Karibu Tena Read More

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...