» »Unlabelled » Rais wa Tunisia athibitisha uwepo wa vikosi vya Marekani nchini mwake

Rais wa Tunisia athibitisha uwepo wa vikosi vya Marekani nchini mwake


Rais wa Tunisia Beji Caid Essebsi
Image captionRais wa Tunisia Beji Caid Essebsi
Rais wa Tunisia Beji Caid Essebsi amethibitisha kwamba mkusanyiko wa vikosi vya ndege vya usalama kutoka Marekani, vinalinda mipaka ya nchi hiyo na Libya.
Bwana Essebsi ameeleza kuwa ameidhinisha ndege hizo mwenyewe na kwamba kulikuwa na hatari ya kuvuka mipaka kwa mashambulizi ya kundi la wapiganaji wa kiislamu.
Mapema mwaka huu zaidi ya watu hamsini waliuawa kutokana na mashambulizi hayo.
Raisi huyo amekuwa katika msukumo mkubwa kutoka kwa wabunge wa nchi hiyo kuelezea suala la vikosi vya Marekani kuendesha shughuli zao ndani ya nchi hiyo.
Jambo lenye umuhimu mkubwa sana.
Asante kwa kutembelea Blog yetu washirikishe na wenzako, Pia tunaomba maoni yako hapa au tupigie kwa (+255) 0769436440 Karibu Tena

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles