» »Unlabelled » Rais Kenyatta atangaza vita dhidi ya uvuvi haramu


Rais Kenyatta atangaza vita dhidi ya uvuvi haramu

FRIDAY , 2ND SEP , 2016

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ameviagiza vyombo vya dola kufanya doria katika bahari ya India ili kudhibiti uvuvi haramu ambao umekuwa ukiathiri uchumi wa mkoa wa Pwani na taifa zima kwa ujumla.

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya.


Akiongea wakati wa kufungua maonesho ya Mombasa ASK, Rais Uhuru amesema licha ya Kenya kuwa na hazina kubwa ya samaki katika eneo la Bahari ya Hindi hainufaiki chochote kutokana na uvuvi haramu.

Amesema kuwa watu wa Kenya wanahitaji ajira wakati sekta ya uvuvi ikihujumiwa na mataifa mengine, hivyo basi ni lazima uvuvi haramu usitishwe ili kuwawezesha vijana wa Kenya kufanya uvuvi ili kuboresha uchumi wa nchi.

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...