» »Unlabelled » Picha zaidi Kutoka Uwanja wa Kaitaba Bukoba Ibada ya kuaga Miili ya Watu 15 waliofariki kwa Tetememko la ardhi Septemba 10,2016.


Mohamed Ramadhan Makonda







Pichani ni Miili ya Watu 15 waliofariki na wengine 203 kujeruhiwa  katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera kufuatia  tetememko la ardhi lenye ukubwa wa vipimo vya ritcher 5.7 lililotokea  mkoani humo ikiwa katika Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba ambapo kunafanyika ibada  ya kuaga miili  hiyo na Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa aungana na Wanabukoba katika Ibada hiyo leo Septemba 11,2016.

Mkuu wa wilaya ya Bukoba Mh. Deodatus Kinawiro amesema  bado Kamati ya Ulinzi na Usalama ikishirikiana na vikosi vya uokoaji pamoja na majeshi la ulinzi na usalama vinaendelea kufanya tathmini ya uharibifu wa majengo na mali uliosababishwa na  Tetemeko hilo.

Mhe. Kinawiro ameongeza kwamba taarifa zaidi zitaendeleo kutolewa kadri zitakavyopatikana  kutokana na kuendelea kwa kazi ya  tathmini ya athari ya tetemeko hilo.






ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU WATARIFU NA WENZAKO KARIBU TENA

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles