» »Unlabelled » Obama: Waliohusika na jaribio la mapinduzi Uturuki kushtakiwa

Obama: Waliohusika na jaribio la mapinduzi Uturuki kushtakiwa

Mshirikishe mwenzako

Rais Recep Tayyip Erdogan na mwenzake Barack Obama wa Marekani
Image captionRais Recep Tayyip Erdogan na mwenzake Barack Obama wa Marekani

Rais wa Marekani Barrack Obama anasema kuwa atahakikisha kuwa wale waliohusika na jaribio la mapinduzi nchini Uturuki watashtakiwa.
Alikuwa akizungumza alipokutana na rais Recep Tayyip Erdogan kandokando ya mkutano wa G-20 mjini Hangzhou nchini China.
Uturuki inadai kuwa kiongozi wa dini mwenye makao yake huko Marekani Fethullah Gulen ndiye aliyepanga njama ya mapinduzi hayo na inataka arudishwe nchini Uturuki.

Kiongozi wa dini kutoka Uturuki Fethullah Gulen
Image captionKiongozi wa dini kutoka Uturuki Fethullah Gulen

Lakini rais Obama hakuzungumzia kuhusu swala la kumrudisha Uturuki kiongozi huyo.
Bwana Gulen amekana kuhusika na jaribio hilo.Rais Obama na Erdogan pia walizungumzia kuhusu hali ilivyo nchini Syria.

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles