» »Unlabelled » Mshukiwa wa mauaji ya kimbari Rwanda afurushwa Marekani

Mshukiwa wa mauaji ya kimbari Rwanda afurushwa Marekani


Mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda
Image captionMauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda
Marekani imemrudisha nyumbani msomi mmoja wa Rwanda anayetuhumiwa kuwa mtu muhimu katika mauaji ya kimbari ya 1994.
Kufurushwa kwa Leopold Munyakazi kunajiri baada ya kupoteza kesi ya kupata uhifadhi nchini Marekani.
Anatuhumiwa kwa kuvaa majani ya mgomba wakati wa mauaji hayo ya kimbari ili kujitambulisha kuwa raia wa kabila la Hutu,mbali na kupanga mashambulio ya usiku katika nyumba za familia za watu wa kabila la Tutsi .
Bwana Munyakazi ,aliyewahi kuhudumu kama profesa wa chuo kikuu amekana madai hayo.
Takriban Watutsi 800,000 na watu wa kablila la Hutu wenye ustani waliuawa na wapiganaji wa Kihutu katika kipindi cha siku 100 pekee mwaka 1994.
ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU WATARIFU NA WENZAKO PIA TUPIA MAONI YAKO

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles