Mapigano yazuka kumiliki visima vya mafuta nchini Libya
Mapigano mapya yameanza kuhusu mzozo wa umiliki wa baadhi ya visima vikubwa vya mafuta katika maeneo ya Mashariki nchini Libya.
Afisa mmoja wa usalama amekanusha kuwa vikosi vinavyomtii jenerali Khalifa Haftar vinadhibiti miji ya Sirda, Ras Lanuf na Zuitina.
Generali Haftar amekataa kutambua serikali ya umoja inayotambulika kimataifa huko Tripoli na kubaki upande wa watawala mahasimu wa Mashariki.
ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU WATARIFU NA WENZAKO KARIBU TENA
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:
Post a Comment