» »Unlabelled » FIX MOR; UNANITOSHA. HII NIMOJA KATI YA NGOMA 7 KALI AMBAZO ZINATARAJIWA KUZINDULIWA TAREHE 24/09/ 2016

Miongoni mwa ngoma zinazo subiliwa kwa hamu na wana Mwanza na Tanzania kwa ujumla na hi ni moja wapo Album hii imepangwa kuzinduliwa Kilimanjaro Hotel iliyopo Nyegezi BUS STAND MWANZA , hivyo wewe kama mwana Mziki, msanii kwa aina zote na wadau wote wa MZIKI Mnakaribishwa ku toa support kwa kijana wenu FIX MOR




HII hapa chini ni kava ambayo ukiiona dukani punde tu zitakapo zinduliwa usiipite Nunua


Fix mor na video queen 


kwa mawasiriano ili kujua swala zima la uzinduzi 
piga namba 0754971996/0716591525
facebook.com/fix mor
instagram:fixmor 

Nimsanii mpya kabisa katika Game amekuja kwa nguvu kubwa naimani wewe msanii na mashabiki mtakubali nacho kisema maana kama ulisha wahi kuangalia wengi wanao anza utagundua kuwa huyu jamaa ana kipaji sana 
Hajapata support bado hana management.

MSANII ANA ITWA: FIX MOR 
ALBUM: NAENDA IRAQ
HUU WIMBO UNAITWA : UNANITOSHA 

Karibu utuunge MKONO

KAMA WEWE NI MSANII UNGEPENDA NGOMA YAKO TUIWEKE KWA BLOG TUPIGIE 0769436440

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles