» »Unlabelled » Biashara na uwekezaji wasisitizwa katika mkutano wa G20

Biashara na uwekezaji wasisitizwa katika mkutano wa G20


Mshirikishe mwenzako
G20,ChinaImage copyrightBBC CHINESE
Image captionmkutano wa G20, China
Mkutano wa mwaka wa G20 unaojumuisha mataifa yenye uchumi mkubwa duniani umemalizika nchini China, ukiongozwa na Rais Xi Jinping, amesema wajumbe wa nchi wanatakiwa kuimarisha nguvu mbili za kibiashara na uwekezaji.
Akiongea huko Hangzhou, Rais Xi amesema kutakuwa na makubaliano kupinga ulinzi wa soko. Amesema kuwa kwa mara ya kwanza mkutano huo umeweka masuala ya maendeleo mbele na kati.
Mkuu wa IMF, Christine Lagarde, amesema viwango vya ukuaji uchumi duniani umekuwa ukishuka kwa muda mrefu na wajumbe wa G-20 watatumia kila njia kuukuza.
Na tamko la mwisho limekubaliana na mataifa kuongeza usaidizi wa ubinadamu na na misaada kwa wakimbizi.

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles