» »Unlabelled » Thailand kuruhusu jeshi kuendelea kutawala

Thailand kuruhusu jeshi kuendelea kutawala


Wapiga kura nchini Thailand wameidhinisha katiba mpya ambayo itaruhusu jeshi kuendelea kuongoza taifa ilo.

kampeni zote za kupinga uamuzi huo zikiwa zimezuiliwa na serikali ya kijeshi
Image captionRaia wa Thailand wakipiga kura

Kampeni zote za kupinga uamuzi huo zikiwa zimezuiliwa na serikali ya kijeshi pasipo kutoa ufafanuzi wa kutosha.
Matokeo ya kura zilizopigwa yanaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 60 ya wapiga kura wanaunga mkono mabadiliko ya katiba. Huku asilimia hiyohiyo ndiyo itakayohusika kumchagua waziri mkuu.

Jeshi linaamini kuwa katiba mpya itaimarisha nchi hiyo kufuatia misukosuko ya kisiasa iliodumu kwa takribani miaka kumi.Image copyrightREUTERS
Image captionNchi ya Thailand inaongozwa kijeshi baada ya kufanya mapinduzi miaka miwili iliyopita.

Nchi ya Thailand inaongozwa kijeshi baada ya kufanya mapinduzi miaka miwili iliyopita. Jeshi linaamini kuwa katiba mpya itaimarisha nchi hiyo kufuatia misukosuko ya kisiasa iliodumu kwa takribani miaka kumi.

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles