» » Kiongozi wa upinzani Urusi apigwa faini ya $5000

Kiongozi wa upinzani nchini Urusi Alexei Navalny

Image captionKiongozi wa upinzani nchini Urusi Alexei Navalny
Kiongozi wa upinzani nchini Urusi Alexei Navalny amepigwa faini ya dola za kimarekani 5000 kwa kuandaa tukio lililopigwa marufuku na kuitisha wafuasi wake kujitokeza barabarani mapema mwezi Julai.
Ameshitakiwa kwa kosa la kukiuka sheria ya kujipigia kampeni ya kupata kura.
Wafuasi wake wengine wawili nao wamepigwa faini kama hiyo.
Bwana Navalny ambaye amekuwa maarufu kwa kumkosoa Rais Putin amekusudia kugombea urais wa nchi hiyo katika uchaguzi ujao.
Lakini tume ya uchaguzi imesema hana sifa za kugombea kwa sababu alipatikana na hatia ya ufisadi.


Tuma picha/ habari what-sap 0769436440



tupe maoni yako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn news

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...