» » Zuma matatani tena

Rais Jacob Zuma

Haki miliki ya pichaREUTERS
Image captionRais Jacob Zuma
Rais wa Afrika kusini Jacob Zuma anachunguzwa tena baada ya kuvuja kwa idadi kubwa ya barua pepe, zinazodai kugundua mtandao wa rushwa kati yake na familia ya Guptas yenye ushawishi kibiashara.
Nyaraka hizo ambazo zimechapishwa kwenye magazeti ya Afrika kusini, zimedokeza kuwa familia ya Guta ilipokea malipo ambayo yangeweza kuvuka kiwango cha zaidi ya dola milioni 400, katika mpango wa kununua kichwa cha treni kutoka China kwa ajili ya Shirika la Reli la nchi hiyo.
Nyaraka hizo zinadai kwamba Gupta wangepata dola laki saba na nusu.
Hata hivyo familia ya Gupta bado hawajazungumza chochote kuhusiana na shutuma hizo.
Mtoto wa Rais Zuma (kulia)Haki miliki ya pichaGALLO IMAGES
Image captionMtoto wa Rais Zuma (kulia)
Msemaji wa Rais Zuma amepinga taarifa hizo na kusema kuwa ni za kutengenezwa.


Tuma picha/ habari what-sap 0769436440

BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS


tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles