» » Jana Wafungwa watoroka kutoka kituo cha polisi DRC

Wafungwa watoroka kutoka kituo cha polisi DRC

Image captionWafungwa watoroka kutoka kituo cha polisi DRC
Watu wenye silaha wameshambulia ofisi ya mkuu wa mashtaka na kituo cha polisi kwenye mji mkuu wa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo Kinshasa na kusababisha wafungwa kadha kutoroka.
Kuna ripoti tofauti kuhusu ni wafungwa wangapi walifanikiwa kutoroka.
Redio inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa ya Radio Okapi, inasema kuwa wafungwa 17 walitoroka, wengi kutoka kwa kituo cha polisi.
Mtandao mmoja wa habari nchini Congo wa Politico, unasema kuwa washambuliajia walikuwa ni wanachama wa Bunda dia Kongo ambalo ni kundi la dini lililo na mtazamo wa siasa.
Serikali inalilaumu kundi hilo kufuatia shambulizi lililotokea katika gereza kuu la Kinshasa mwezi uliopita ambapo mamia au hata maelfu ya wafungwa walitoroka.

Tuma picha/ habari what-sap 0769436440



BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS


tupe maoni yako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...