Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema atafanya kila liwezekanalo kushughulikia kuondolewa kwa kibali cha kukamatwa kwa walinzi wake 12 ambao walionekana kuwapiga waandamanaji mjini Washington.
Tukio hilo lilitokea nje ya ubalozi wa Uturuki mwezi uliopita.
Picha za video zinaonyesha zinaonyesha walinzi wa Erdogan wakiwapiga mateke baadhi ya waandamanaji huku Rais Erdogan akishuhudia tukio hilo.

Maafisa wa Marekani wanasema kuwa walinzi hao watakamatwa iwapo watarejea nchini humo wakati wowote.
Tuma picha/ habari what-sap 0769436440
BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS
tupe maoni yako
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

