» » Erdogan kuwalinda walinzi waliopiga waandamanaji Washington

Walinzi wa Erdogan wakiwashambulia Raia wa Uturuki waishio Marekani

Image captionWalinzi wa Erdogan wakiwashambulia Raia wa Uturuki waishio Marekani
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema atafanya kila liwezekanalo kushughulikia kuondolewa kwa kibali cha kukamatwa kwa walinzi wake 12 ambao walionekana kuwapiga waandamanaji mjini Washington.
Tukio hilo lilitokea nje ya ubalozi wa Uturuki mwezi uliopita.
Picha za video zinaonyesha zinaonyesha walinzi wa Erdogan wakiwapiga mateke baadhi ya waandamanaji huku Rais Erdogan akishuhudia tukio hilo.
Rais Erdogan amesema walinzi wake walikuwa wakifanya kazi yao
Image captionRais Erdogan amesema walinzi wake walikuwa wakifanya kazi yao
Maafisa wa Marekani wanasema kuwa walinzi hao watakamatwa iwapo watarejea nchini humo wakati wowote.


Tuma picha/ habari what-sap 0769436440

BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS
tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles