» » Brexit: Uingereza yakubali kuondoka kwa awamu

Wajumbe wa Uingereza na Umoja wa Ulaya katika mazungumzo ya BREXIT

Haki miliki ya pichaEPA
Image captionWajumbe wa Uingereza na Umoja wa Ulaya katika mazungumzo ya BREXIT
Baada ya siku ya kwanza na mazungumzo, mjini Brussels Ubelgiji, Uingereza imekubali mpango wa Muungano wa Ulaya wa kujiondoa kutoka kwa muungano huo kwa hatua.
Waziri wa Uingereza anayeongoza mpango huo David Davis, amekubali kusitisha mazungumzo kuhusu mikataba ya kibiashara kati ya pande hizo mbili hadi hatma ya raia wa pande hizo walioko mataifa ya EU na fidia ya mwisho ya utengano kuafikiwa.
Aidha amesema ni wazi kwamba pande zote mbili zinataka kupata kustakabali mzuri wa uhusiano wao.
Naye Mwakilishi wa Umoja wa Ulaya katika mazungumzo hayo Michel Barnier amesema kwa pande zote mbili Umoja wa Ulaya na Uingereza makubaliano ya haki yanawezekana na ni bora zaidi kuliko kutofanya kabisa.


Tuma picha/ habari what-sap 0769436440

BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS

tupe maoni yako

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...