» » Vurugu na maandamano yatanda siku ya Mei Mosi;Venezuela


Venezuela
Image captionRais wa Venezuela, Nicolas Maduro, ametoa wito wa kuundwa kwa kwa Bunge la katiba
Siku ya wafanyakazi duniani haikua na mwisho mwema nchini Venezuela baada ya kutokea vurugu na maandamano mara baada ya rais wa Venezuela Nicolas Maduro kuhutubia taifa akitangaza kuundwa kwa Bunge jipya ili kumaliza mgogoro wa kisiasa nchini humo.
Rais Maduro, alitoa wito wa kuundwa kwa kwa Bunge la katiba ambalo litakuwa na mamlaka ya kuandika katiba mpya,kwa madai kuwa chombo hicho kipya kitaundwa na raia wa kawaida,na kuachana na bunge la kitaifa linalodhibitiwa na upinzani
Hata hivyo kiongozi wa Upinzani, nchini humo, Henrique Capriles amesema chombo hicho kipya kitakuwa kina malengo ya kuhujumu katiba .
VenezuelaHaki miliki ya pichaAFP
Image captionwanaharakati kutoka upande wa upinzani
Bunge la kitaifa limekuwa likitaka Rais Maduro ajiuzulu wakati taifa hilo likikabiliwa na hali mbaya ya kiuchumi


Tuma picha/ habari what-sap 0769436440

BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS

tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles