» » Uingereza yaimarisha ulinzi

Maombolezo ya waliouawa yaendelea

Haki miliki ya pichaREUTERS
Image captionMaombolezo ya waliouawa yaendelea
Uingereza itasambaza wanajeshi kwa ajili ya kulinda maeneo muhimu na kwenye matukio mbalimbali, kufuatia shambulio la kigaidi lililotokea katika mji wa Manchester na kusababisha vifo vya watu 22.
Hatua hiyo isiyo ya kawaida imetangazwa na Waziri mkuu wa nchi hiyo Theresa May, ambaye amesema ukadiriaji unaofanywa juu ya kitisho cha ugaidi kinachoikabili nchi hiyo, umeongezwa kwa kiwango kikubwa.
Ikiwa na maana kwamba mashambulio ya kigaidi yanaweza kutokea tena.
Waziri mkuu wa Uingereza amesisitiza kuwa kuna uwezekano wa kundi la watu lina weza kuwa na uhusiano na shambulio la Jumatatu usiku la Manchester.


Tuma picha/ habari what-sap 0769436440

BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS


tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles