» » Trump Mshauri wake kuachia ngazi


Gorka ataondoka siku chache zijazo
Image captionGorka ataondoka siku chache zijazo
Taarifa kutoka Washington zinasema kuwa mmoja wa washauri muhimu sana wa Rais Donald Trump Sebastian Gorka anatarajia kujiuzulu nafasi hiyo.
Gorka mjuzi wa masuala ya usalama wa taifa anashutumiwa kuvaa medali aliyozawadiwa na kikundi kimoja kutoka nchini Hungary ambacho kina uhusiano na mfumo wa Kinazi.
Kabla ya kufanya kazi na Trump, Gorka alikuwa mhariri wa tovuti iitwayo Breitbart.


Tuma picha/ habari what-sap 0769436440

BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS


tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles