» » Manchester United kuwakosa baadhi ya nyota wake - Europa League


Man unitedHaki miliki ya pichaGOOGLE
Image captionZlatan Ibrahimovic
Wakati Manchester United inatarajiwa kucheza mchezo wake wa kwanza wa nusu fainali ya Europa League hapo Alhamisi, inaweza kuwakosa nyota wake saba wa kikosi cha kwanza.
Wachezaji hao ambao wnaweza kukosekana katika mchezo huo ni pamoja na Bailly au Chris Smalling paomoja na Phil Jones ,wengine ni Zlatan Ibrahimovic, marcos Rojo na Tomothy Fosu-Mensah
Paul Pogba anatarajiwa kurejea katika mchezo huo utakaofanyika nchini Hispania baada ya kukosa mechi mbili kutokana na kuwa majeruhi.


Tuma picha/ habari what-sap 0769436440
BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS

tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles