Jaji mweupe nchini Afrika Kusini amejiuzulu baada ya kutoa matamshi mwaka jana katika mitandao ya kijamii kuwa matukio ya ubakaji ni utamaduni wa watu weusi.
Jaji huyo wa mahama kuu Mabel Jansen alikuwa katika mapumziko akisubiri upelelezi wa mahakama kufanyika juu ya sakata hilo.
Matamshi hayo yalifichuliwa na rafiki yake ambaye hakutajwa jina.
Afrika Kusini ni miongoni mwa nchi zenye asilimia kubwa ya matukio ya ubakaji duniani.
Tuma picha/ habari what-sap 0769436440
BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI



No comments:
Post a Comment