Familia moja nchini Marekani imeeleza ilivyohisi wakati ilipata taarifa kwamba mwanzilishi wa mtandao wa kijamii wa Facebook Mark Zuckerberg angewatembelea kwa chakula cha jioni.
Familia hiyo ya Moore , eneo la Newton Falls, inasema walijua utambulisho wa mgeni wao dakika 20 kabla ya kuwasili ijumaa.
Bwana Zuckerberg anazuru majimbo yote 50 ya Marekani na amewataka wafanyikazi wake kutafuta wanachama wa Democrat waliompigia kura rais Donald Trump.
- Mark Zuckerberg ala ugali Kenya
- Facebook yakana kumsaidia Donald Trump
- Uchunguzi kuhusu habari potovu kwenye Facebook waendelea
Anakisiwa kuwa na mpango wa kuwania urais wa Marekani.
Familia hiyo inasema bwana Zuckerberg alikuwa mtu mtulivu sana.
Tuma picha/ habari what-sap 0769436440
BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI


No comments:
Post a Comment