» » Waziri mkuu mpya kutangazwa leo,DRC

Waziri mkuu mpya kutangazwa leo,DRC

DRCHaki miliki ya pichaGOOGLE
Image captionRais Joseph Kabila,DRC
Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo leo anatarajiwa kumteua Waziri Mkuu, licha ya upinzani ambao ulipaswa kutoa jina hilo, kugawanyika, juu ya nani atakayeteuliwa.
Mpaka sasa upinzani umegawanyika pande mbili, ukiwemo ule unapinga kuteuliwa kwa Felix Tshekedi licha ya kuongoza kundi kubwa na upande mwingine ni wanaomuunga aliyekuwa mshauri mkuu wa marehemu Tsichekedi ambaye alifukuzwa kwenye chama hicho, baada ya kufanya mazungumzo na Rais Kabila.
Hata hivyo kwa mujibu wa rais kabila, kuteuliwa kwa waziri mkuu mpya ni kutatatua mvutano uliozuka, kuhusi utekelezaji wa makubaliano ya tarehe 31 Desemba mwaka jana, makubalino ambayo yanataka waziri mkuu atoke upande wa Muungano wa upinzani, lakini hadi sasa bado hawaja afikiana kuhusu namna ya kufanya uteuzi, kutokana na mgawanyiko ulitokea upande huo wa upinzani baada ya kifo cha marehemu mkogwe wa upinzani Etienne Tshisekedi, ambae alikuwa anaongoza muungano huu, licha mtoto wake kuteuliwa kuchukuwa nafasi yake hiyo.

Tuma picha/ habari what-sap 0769436440

BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS
https://play.google.com/store/apps/details?id=com.sn.news&hl=en

tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles