GETTY IMAGES/PETERMACDIARMID
Uturuki imefunga tovuti ya maelezo ya Wikipedia nchini humo.
Waliojaribu kufikia mtandao wamepata ujumbe kwamba seva yake haifanyi kazi.
Idara ya mawasiliano imesema kwamba hatua mwafaka imechukuliwa kutatua tatizo hilo, japo haikutoa sababu yoyote ya mtandao huo kufungwa.
Tovuti zingine zinafanya kazi kama kawaida.
Uturuki imekuwa ikifunga mitandao ya kijamii kama vile Facebook na Twitter wakati wa maandamano makubwa ama mashambulizi ya kigaidi.
Tuma picha/ habari what-sap 0769436440
BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS
tupe maoni yako
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:
Post a Comment