» » Tovuti ya Wikipedia yafungwa Uturuki


Tovuti ya Wikipeadia iliofungwa nchini UturukiHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES/PETERMACDIARMID
Image captionTovuti ya Wikipeadia iliofungwa nchini Uturuki
Uturuki imefunga tovuti ya maelezo ya Wikipedia nchini humo.
Waliojaribu kufikia mtandao wamepata ujumbe kwamba seva yake haifanyi kazi.
Idara ya mawasiliano imesema kwamba hatua mwafaka imechukuliwa kutatua tatizo hilo, japo haikutoa sababu yoyote ya mtandao huo kufungwa.
Tovuti zingine zinafanya kazi kama kawaida.
Uturuki imekuwa ikifunga mitandao ya kijamii kama vile Facebook na Twitter wakati wa maandamano makubwa ama mashambulizi ya kigaidi.

Tuma picha/ habari what-sap 0769436440
BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS
tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles