» » Maandamano yaningia siku ya pili Venezuela

Maandamano yaningia siku ya pili Venezuela


Waandamanaji wakabiliana na Polisi Venezuela
Image captionWaandamanaji wakabiliana na Polisi Venezuela
Polisi katika mji mkuu wa Venezuela, Caracas,wameendela kutumia mabomu ya machozi na risasi za mpira kuwazuaia waandamanaji waliongia siku wakipinga serikali ya Rais Nicolas Maduro.
Wanaharakati walioficha nyuso zao wamewarushia polisi mawe na mabomu yaliyotengenezwa kwa petrol.
Vurugu hizo zinaendelea katika maeneo ya mashariki mwa mji wa Caracas,ambako ndiyo ngome kuu ya upinzani.
Siku ya jumatano watu watatu walikufa katika maandamano mjini Caracas na magharibi mwa Venezuela. Wapinzani wanakasirishwa na kuzorota kwa hali ya uchumi,ambapo wanahitaji uchaguzi mkuu kufanyika.

Tuma picha/ habari what-sap 0769436440

BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS

tupe maoni yako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles