Tangu waziri wa michezo nchini Cameroon Pierre Ismael Bidoung Mpkatt ainame wakati akimsalimia rais wa nchi hiyo Paul Biya, picha hizo zilisambaa mitandaoni.
Watu nchini Cameroon wamekuwa wakiiga picha hizo na hata kuifanyia mabadiliko.
TWITTER / @AFRIK2_RADIO
Mfano mwingine ulibuniwa.
TWITTER / @CHEYSSONY
Huyu naye alishuka hata chini Zaidi.
TWITTER / @WALDRIGUE
Huyu jamaa naye aliamua kushuka.
TWITTER / @ZEBSTATOU
Wanyama pia walishiriki.
TWITTER / @ZEBSTATOU
Je umeiona hii?
TWITTER / @ENN_CEE_KAY
Na hata mbuzi huyu alishirikishwa ambaye picha yake iliwekaa mtandao wa Facebook.
FACEBOOK / CULTUREBENETuma picha/ habari what-sap 0769436440
BONYEZA HAPA KUPATA APP YA 4SN NEWS
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI


No comments:
Post a Comment