» » Wanandoa 160 watalakiana China ili kufaidika na fidia

Wanandoa 160 watalakiana China ili kufaidika na fidia
Image captionWanandoa nchini China.
Zaidi ya wanandoa 160 wanaoishi katika kijiji kimoja kusini mwa China wameama kutalakiana kwa lengo kupata kiwango kikubwa cha fidia itakayolipwa baada ya nyumba zao kuvunjwa kwa nguvu.
Kijiji hicho cha Jiangbei mashariki mwa China kinavunjwa ili kutoa nafasi ya ujenzi.
Wanandoa wanaoishi katika eneo hilo waligundua kwamba watafaidika na ujenzi wa nyumba mbili na takriban dola elfu 19 iwapo wataachana na kudai fidia hiyo wakiwa mbali mbali.
Baadhi ya wanandoa hao wana zaidi ya miaka 80, na wengi walisema walipanga kuendelea kuishi.
Mshirikishe mwenzako

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles