Uber yaondoa magari yanayojiendesha barabarani baada ya ajali
Haki miliki ya pichaREUTERSImage captionUber said the car was in self-driving mode at the time of the crash
Kampuni ya Uber imeondoa magari yake yanayojiendesha barabarani, baada ya ajali ambapo moja ya magari yake lilianguka.
Picha zilizochapishwa zilionyesha gari lilokuwa limepinduka kwenye barabara katika jimbo la Arizona, kando na gari lingine lililokuw limeharibika vibaya.
Gari hilo aina ya Volvo SUV lilikuwa likijiendesha lenyewe wakati wa ajali. Hakuna mtu aliyejeruhiwa.
Mume mzinifu ashtaki UberUber kutengeza magari yanayorukaUber teksi kuzindua magari yanayojiendesha
Msemaji wa polisi eneo la Tembe huko Arizona, alisema kuwa ajalia hiyo ilitokea wakati gari lingine la Uber lilishindwa kugeuka upande wa kushoto.
Magari ya Uber yanayojiendesha kala mara huwa na mtu kwenye kiti cha dereva ambaye anaweza kuchukua usukani.
Kisa hicho kinajiri majuma kadha baada ya kampuni hiyo ya texi, kukumbwa na taarifa zisizo za kuridhisha zinazohusu mazingira ya kufanya kazi.
Mshirikishe mwenzako


No comments:
Post a Comment