4SN NEWS TUMEBAHA TIKA KUFANYA MAWASIRIANO NA MWANZILISHI
NA MSIMAMIZI WA KIKUNDI KIKUBWA SANA TIMU YA INJILI KWA NJIA YA UIMBAJI KIITWACHO IMBA KWA AKILI
HUU NI BAADHI YA WIMBO AMBAO BADO HAUJAKAMILIKA UNAWEZA KUUITA VIONJO AU KIONJO CHA KAZI YA SASA KAA MKAO WA KUBARIKIWA PUNDE TU WAKIMALIZA NITAWATAARIFU NA KUWAPA VIZURI KUTOKA KWAO
HISTORIA FUPI
Imba kwa akili ni
mkusanyiko wa waimbaji wa vikundi vya uimbaji Tz, walioamua kukaa pamoja
na kuifanya kazi ya Mungu, organizer wa hii kitu ni Martin Ngussa,
Vikundi vinavyounda
njozi hii kubwa ya kupeleka injili kwa njia ya nyimbo kwa watu wengi ni
Acacia singers
Healing voice
Waberoya singers
Safari ya matumaini
Mashujaa wa yesu
Family singers
Family music Tz
Milele family
Heaven travelers
generation
Tramph generation
Laos family
The harversters
The new voice of
Tanzania
Glory land singers
The smirner singers
MIPANGO MIKAKATI
Tuna njoz ya kupeleka
injili kwa njia ya nyimbo kufikia watu wengi kwa ushirikiano wetu pamoja
Kwa sasa tumeanza na
wimbo mmoja ambao ukikamilika tutaupeleka kwenye vyombo vya habari vyote vya
hapa tz ili tuwabariki watu wengi
Tumefanikiwa pia
kutengeneza umoja na ushirikiano kati ya waimbaji na kikundi kimoja na kingine
Tumefanikiwa kuwaweka
waimbaji pamoja na kufanya kazi pamoja licha ya changamoto za utofauti wao
kiuimbaji na kiutendaji
MAANDALIZI YA HIVI KALIBUNI
Tunatarajia kuwa na
tamasha kubwa la uimbaji litakalo jumuisha waimbaji na vikundi vingi vya hapa
nchini tz, lengo ni kujifunza na kubadilishana uzoefu kati ya waimbaji na bdae
kufanya uinjilist kwa njia ya nyimbo kwa kurekodi albam ya pamoja ya video itakayosambazwa
bure kabisa kwa watu wengi wasiomjua Mungu leo ni kuwahubiri kwa njia ya nyimbo
+255
715 953 023: Mawasiriano organizer Ndugu: Martin Ngussa,
+255
715 953 023: 0715953023
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
No comments:
Post a Comment