» » Wanasema hii ni Group la whatsapp la Barca baada ya mkataba wa Coutinho


Moja kati ya habari kubwa katika soka leo ni maamuzi ya Liverpool kuamua kumuongezea mkataba kiungo wao Mbrazil Philippe Coutinho ambaye wamemuongeza mkataba wa miaka mitano wa kuendelea kuitumikia timu hiyo.
Tovuti mbalimbali zimeripoti kunasa mazungumzo ya group la whatsapp la wachezaji wa FC Barcelona baada ya Coutinho kuongeza mkataba wa Liverpool ambapo inaonekana kama FC Barcelona waliwahi kuhusishwa na kumuhitaji Coutinho. HII NI KWA MUJIBU WA 90min.com



Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...