» » Wanasema hii ni Group la whatsapp la Barca baada ya mkataba wa Coutinho


Moja kati ya habari kubwa katika soka leo ni maamuzi ya Liverpool kuamua kumuongezea mkataba kiungo wao Mbrazil Philippe Coutinho ambaye wamemuongeza mkataba wa miaka mitano wa kuendelea kuitumikia timu hiyo.
Tovuti mbalimbali zimeripoti kunasa mazungumzo ya group la whatsapp la wachezaji wa FC Barcelona baada ya Coutinho kuongeza mkataba wa Liverpool ambapo inaonekana kama FC Barcelona waliwahi kuhusishwa na kumuhitaji Coutinho. HII NI KWA MUJIBU WA 90min.com



Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles