» » Mapokezi ya Diamond Gabon Yatisha,Apokelewa na Rais wa Nchi Hiyo

MKALI wa Afro Pop, Diamond Platnumz jana alitua nchini Gabon na kupkelewa na rais wa nchi hiyo, Ali Bongo ambapo msanii huyo anatarajiwa kufanya shoo kubwa kwenye uzinduzi wa Mashindano ya AFCON nchini humo yanayoanza leo.

Katika mechi za ufunguzi Kombe la AFCON, leo michezo miwili itapigwa ambapo wenyeji Gabon watakuwa wakimenyana na Guinea-Bissau saa 1:00 usiku kwenye Uwanja wa Angondje huku Burkina Faso wakikipiga na Cameroon saa 4:00 usiku kwenye uwanja huohuo.
diamond-4
diamond-5
Diamond akiwa katika picha ya pamoja na Rais Ali Bongo wa Gabon pamoja na msanii wa Nigeria, David Adekeye ‘Davido’, Akon pamoja na wasanii wengine na watoto nchini humo.
diamond-2 diamond-3
Rais wa nchi Gabon, Ali Bongo akisalimiana na Diamond Platnumz.
diamond-4
Diamond Platnumz akisalimiana na Akon.

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles