» » Man Walter Alitaka Diamond Ashirikishwe Kwenye Wimbo wa Mr Blue Mboga Saba Badala ya Ali Kiba


P zone mc msanii kutoka micharazo ya mr blue
amefunguka kwenye FNL ya EATV na kudai Man
water alitaka Diamond ndio ashirikishwe kwenye
ngoma ya Mr blue #mbogasaba

. "Man water alitaka diamond aingize vocal kwenye wimbo
wa mr blue lakini haikuwa hivyo, Mr blue alitaka kiba
afanye kitu zaidi na tulipompigia simu kiba alifanya
heshima kubwa zaidi mimi mwenyewe sikutegemea"

Hata hivyo @pzone_mc aliongeza kwa kusema @man_water
alitaka kifanyike kitu zaidi ya pale alipofanya @officialalikiba
na ndio maana katafutwa mwanadada aingize tena sauti
kwenye kolabo hiyo

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles