» » Hii Ndiyo Simbaah..Yaigagadua Polisi Dar Bila Huruma..!!!

Simba imeanza vizuri hatua ya kuwania Kombe la Shirikisho kwa kuitwanga Polisi Dar es Salaam kwa mabao 2-0.

Polisi ilionyesha soka safi lakini ikashindwa kuhimili vishindo vya Simba, hadi mapumziko ilikuwa imefungwa kwa bao moja lililofungwa na Patory Athanas.

Kipindi cha pili, Simba waliingia na kasi lakini kipa wa Polisi Dar ndiye alikuwa shujaa kutokana na kuokoa michomo mingi ya hatari.

Laudit Mavugo na Shiza Kichuya, walipoteza nafasi nyingi kwa upande wa Simba huku wakishindwa kuutegua mtego wa offside wa Polisi mara kwa mara.

Dakika chache kabla ya filimbi ya mwisho, Mohamed Zimbwe Jr, aliifungia Simba bao la pili kwa kichwa baada ya shuti lake kugonga mwamba baada ya kuuvunja mtego wa kuotea wa Polisi. Halafu ukamkuta na kuupachika wavuni.

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Popular Articles

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...