» »Unlabelled » Jamil Makulu kutofika mahakamani bila sababu ya msingi

Jamil Makulu kutofika mahakamani bila sababu ya msingi

UgandaImage copyrightGOOGLE
Image captionAskari wa Uganda
Mahakama moja nchini Uganda imeagiza idara ya magereza kumleta mahakamani kiongozi wa kundi la uasi la- Allied Democratic Front-ADF,Jamil Mukulu ambae amekuwa mbaroni zaidi ya mwaka mmoja tangu arejeshwe nchini Uganda kutoka Tanzania akiwa anakabiliwa na mashtaka ya kuua.
Mukulu, mbali na kosa la kuua, pia alishtakiwa na makosa mengine ya uhaini na ugaidi katika mahakama hiyo pamoja na watu wengine wawili.Hata hivyo Mukulu hakufika Mahakamani licha ya kutolewa hati iliyomtaka afike mahakamani hapo jana.
Hii ilikuwa ni mara ya pili kwa Mukulu kutofika mahakamni bila kutoa sababu maalum licha ya kuwa na hati ya kumtaka afike mahakamani .
Hatua hiyo imepelekea mawakili wake kutoa malalamiko kuwa mteja wao hajatendewa haki kwa kuwa magereza haina sababu yoyote ya kushindwa kumleta mtu huyo mahakamani. kwa kuwa mteja wao ana haki kama raia mwingine yoyote yule. Hivyo ni kazi ya mahakama kuhakikisha kuwa ana hatia au laa.
Asante kwa kutembelea Blog yetu washirikishe na wenzako, Pia tunaomba maoni yako hapa au tupigie kwa (+255) 0769436440 Karibu Tena Read More

Pakua App Yetu-Bofya Hapa Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About 4sn News

Hi my name is Gasto Alex Didas from Mwanza Tanzania I'm blog manager and I have an App which is called 4sn News, my office is located in Rock City Mwanza-Tanzania at Miembeni "B" Street. My contacts +255769436440/ +255659750504 Welcome.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...