» »Unlabelled » Mauaji ya Habyarimana: Rwanda yaionya Ufaransa

Mauaji ya Habyarimana: Rwanda yaionya Ufaransa


Rais wa Rwanda Paul Kagame ameionya ufaransa kuhusu ufufuzi wa uchunguzi wa mauaji wa aliyeluwa kiongozi wa taifa hilo Juvenal Habyarimana
Image captionRais wa Rwanda Paul Kagame ameionya ufaransa kuhusu ufufuzi wa uchunguzi wa mauaji wa aliyeluwa kiongozi wa taifa hilo Juvenal Habyarimana
Rais wa Rwanda ,Paul Kagame ameonya kuhusu makabiliano na Ufaransa kufuatia tangazo la wachunguzi wa Ufaransa kwamba watafungua upya uchunguzi kuhusu mauaji ya aliyekuwa rais wa Rwanda Juvenal Habyarimana.
Kutunguliwa kwa ndege yake iliokuwa na wafanyikazi wa Ufaransa mwaka 1994 ilizua mauaji ya kimbari ambapo mamia ya maelfu waliuawa ,hususan watu wa kabila la Tutsi .
Uchunguzi huo umeanzishwa upya ili kupata ushahidi kutoka kwa jenerali aliyetoroka Rwanda Faustin Kayumba Nyamwasa ambaye anasema kuwa rais Kagame alihusika .
Mwaka 2006,Rwanda ilikata uhusiano wake na Ufaransa kwa miaka mitatu baada ya jaji kumtaka rais Kagame kujibu mashtaka.
Asante kwa kutembelea Blog yetu washirikishe na wenzako, Pia tunaomba maoni yako hapa au tupigie kwa (+255) 0769436440 Karibu Tena

Flower
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

About IVST TANZANIA

Hi my name is Gasto Alex Didas
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

MBUNGE MABULA AKAGUA SHULE NNE MPYA ZA MSINGI, ZENYE THAMANI YA TSH 1.174 BIL, ASHAURI HALMASHARI KUTUMIA MCHORO MPYA WA TAMISEMI KUOKOA MADARASA 3 KILA SHULE

Mhe. Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo La Nyamagana amefanya ziara ya kikazi katika Kata nne za halmashauri ...

Popular Articles