Nikikundi cha nyimbo za injiri kilichoko Mwanza.
kiukweli wamejitoa kwa moyo wao wote kumtumikia Mungu, wanaimba vizuri sana kwakuwa ndio wameanza wanahitaji maombi yenu sana maana shetani hapendi kuona vijana wakiimba na kumtumikia Mungu
Kwasasa wana baadhi ya Audio ambazo ziko tayari na siku sio nyingi Video yao itakuwa tayari wanategemea kwenye mwezi wa 12 mwaka huu watakuwa hewani namimi nitawafatilia mpaka nihakikishe kitu kinakufikia hasa wewe mfuatiliaji wa habari za uimbaji.
vijana hawa wako tayari kwa huduma popote mtakapo waita watakuja maana ndio wito wao kama utawahitaji kwa huduma au kuwatia moyo nk wasiriana na Mwenyekiti wa kundi kwa no 0757562517
au Mkuu wa Mawasiriano 0764971385
Kunamtu anauliza kama kuna nafasi ya kujiunga na kikundi hicho mimi nakushauri kama ndio matamanio yako kuwa miongoni mwa waimbaji hawa wenye sauti zilizo inuliwa juuu wasiriana na Mwenyekiti
WAKIWA ENEO LA MAZOEZI
Asante kwa kutembelea Blog yetu washirikishe na wenzako, Pia tunaomba maoni yako hapa au tupigie kwa (+255) 0769436440 Karibu Tena
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI









No comments:
Post a Comment